Mgeni Rasmi, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akifurahia kupokea zawadi wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kisayansi la Maji.
Mgeni Rasmi Mhe. Jumaa H. Aweso (Mb) akihutubia katika Mahafali ya 48 ya Chuo cha Maji
Wafanyakazi wa Chuo cha Maji wakiwa kwenye Mahafali ya 48 ya Chuo.
Water Institute Hosts Strategic Meeting with Chinese Delegation to Enhance Innovation and Skills Development in Water and Engineering Sectors
Wajumbe wa baraza la wafanyakazi la Chuo cha Maji katika picha ya pamoja
Chuo cha Maji kimesaini makubaliano ya mashirikiano na Chuo cha IHE Delft Institute for Water Education. Makubaliano hayo yaliyosainiwa na Dkt. Adam. O. Karia, Mkuu wa Chuo cha Maji na Prof. Dr. Eddy Moors.